VYAMA, MASHIRIKA NA JUMUIYA ZA KITUME (VMJ)


Parokia ina Vyama, Mashirika na Jumuiya za Kitume (VMJ) kumi na tano. Vyama
na mashirika hayo ni:

  1. Utume wa Wanaume Katoliki (UWAKA),
  2. Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA),
  3. Vijana Wafanyakazi Wakatoliki (VIWAWA),
  4. Utume wa Wazee na Wastaafu wa Mt. Augustino,
  5. Shirika la Kipapa la Utoto Mtakatifu (wakilelewa na WAWATA),
  6. Utume wa Kwaya Katoliki Tanzania (UKWAKATA Parokia),
  7. Ushirika wa Moyo Mtakatifu wa Yesu, Mt. Vinsenti wa Paulo,
  8. Shirika la Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili,
  9. Shirika la Mt. Alois Gonzaga (Watumishi wa Altare),
  10. Lejio ya Maria,
  11. Wanataaluma Wakristo Tanzania (Christian Professionals of Tanzania – CPT),
  12. Karismatiki Katoliki,
  13. Utume wa Familia Katika Kristo (Couples For Christ - CFC), na
  14. Chama cha Upendo cha Mt. Theresia wa Mtoto Yesu.