Kuapishwa kwa Kamati Tendaji ya HW ya Parokia

Kuapishwa kwa Kamati Tendaji ya HW ya Parokia

Baba Paroko  Pd. Gilbert Bujiriri aliwaapisha Kamati Tendaji ya halmashauri ya walei parokia katika Dominika ya Matawi. Baada ya kuapisha pia alitoa zawadi kwa viongozi waliotumika Kamati Tendaji kwa nyakati tofauti tangu Mshikamano ilipokuwa Parokia Teule na Parokia 2015/2016

Kamati Tendaji ya halmashauli ya walei Parokia 2026-2029


Paroko akikabidhi zawadi kwa katibu mstaafu Ndg Silvani Mng'anya

Paroko akikabidhi zawadi kwa aliyekuwa katibu Msaidizi wa Parokia mama Antoinette Moshi

Paroko akikabidhi zawadi kwa familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Parokia Eng. Theophil Mfala

Paroko akikabidhi zawadi kwa aliyekuwa Katibu Msaidizi wa Parokia Ndg Gabriel Mruma

Paroko akikabidhi zawadi kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Parokia Mzee Fortunatus Kapinga

Paroko akikabidhi zawadi kwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Parokia mama Christine Kwayu