Kamati Tendaji Parokia ikipokea cheti kutoka Redio Maria

Kamati Tendaji Parokia ikipokea cheti kutoka Redio Maria

Kamati Tendaji Parokia pamoja na Pd. Jean Paul Basikaba wakipokea cheti kutoka Redio Maria kutambua mchango wa Parokia  katika kuwezesha utume wa Redio Maria tarehe 19/04/2026